Monday, November 19, 2012

Ni siku ya fedha kitaifa ,wadau mbalimbali walijitokeza kuonesha ni kwa namna gani tunaweza pata usaidizi katika asasi za kifedha hapa ncini,ni jukumu la kila mwanajamii kujifunza namna ya kuchangamkia fursa mbalimbali zilizopo .

No comments:

Post a Comment